DIAMOND NA HARMONIZE USO KWA USO



Wasanii wa Bongo fleva Naseeb Abdul 'Diamond na Rajab Abdul 'Harmonize' wamekutana na kupeana mikono walipokutana kwenye Iftar Ikulu jijini Dar es Salaam

Harmonize alisikika akimwambia Diamond Platnumz' kuwa nitakupigia simu kesho naomba pokea basi.

Wawili hao walikuwa pamoja mtu na boss wake pindi Harmonize alipokuwa WCB miaka tisa iliyopita tangu aondeke ni miaka minne sasa wawili hao hawakuwai kuongea wala kuonana na sasa wamekutana na akuzungumza rasmi.

Comments

Popular posts from this blog

MATAIFA 8 KUIMBA TAMASHA LA PASAKA

PIMEA USIKU WA WANA NDOA ULIVYOFANA MSIFICHANE NA KUWEKEANA VITU

UONGOZI DHAIFU VYATAJWA KUVURUGA TAASISI ZA VIJANA