JOH MAKINI ATUPA DONGO GIZANI
Nini kinaendelea.? Joh Makin kamlenga nani kwenye hiii.? Ameandika… “Hii tasnia yetu bana kuna vitu vinafikirisha sana sometimes kufundishana uoga kwiingi mtu anakubali kushiriki kwenye wimbo kiroho safi unapofika wakati wa kushiriki promo kwa faida ya pande zote unakuta mtu kawekewa masharti magumu kama utajiri wa kishirikina!! #Formula”
Mpaka sasa ukipta kwenye page ya wasanii walioshirikishwa wimbo wa Formula na Joh Makini, msanii Jay Melody hajapost chochote kuhusu wimbo huo… Huku Bien akiwa am Esha post siku tano nyuma

Comments
Post a Comment