AHMED ASAS AKUTANA NA ASKOFU ROMANUS JIMBO LA IRINGA
Jumatatu yenye baraka kukutana na Mhashamu Baba Askofu Romanus Elamu Mihali, wa Jimbo Kuu Katoliki la Iringa. Furaha kubwa kukutana na kiongozi wa kiroho mwenye hekima, unyenyekevu na moyo wa Upendo.


Comments
Post a Comment