MSAMA VIDEO INAYOSAMBAA INALENGO LA KUNICHAFUA NI VITA YA UBUNGE

Mkurugenzi wa Msama Promotions Alex Msama amewaomba watanzania kupunguza Habari zinazozagaa mitandaoni kuwa amefukuzwa kwenye nyumba yake ya Upanga Dar es Salaam. Amesema kuwa "Video zinazosambaa zinatumika na watu wasio na Nia njema na Mimi na Wana lengo la kunichafua hasa kipindi cha vita za ubunge"amesema Alex Msama

Comments

Popular posts from this blog

MATAIFA 8 KUIMBA TAMASHA LA PASAKA

PIMEA USIKU WA WANA NDOA ULIVYOFANA MSIFICHANE NA KUWEKEANA VITU

UONGOZI DHAIFU VYATAJWA KUVURUGA TAASISI ZA VIJANA