DAR CITY KUCHEZA NA PETRO YA DE LUANDA KATIKA ROBO FINAL
Timu ya mpira wa kikapu ya Dar City ya Tanzania imepangwa kucheza na Petro De Luanda ya Angola katika hatua ya Robo Fainali ya michuano ligi ya Baskeball Afrika
Timu ya mpira wa kikapu ya Dar City ya Tanzania imepangwa kucheza na Petro De Luanda ya Angola katika hatua ya Robo Fainali ya michuano ligi ya Baskeball Afrika (BAL)
2026..
Dar City na Petro De Luanda watacheza Mechi hizo za mtoano zinazotarajiwa kuchezwa Kigali, Rwanda kuanzia Mei 22 mpaka Mei 31,2026 ni Mabingwa wa michuano ya BAL 2024.
Team ya Petro De Luanda nwalishawahi kuwa Mabingwa BAL na mwaka jana 2025 walicheza fainali…


Comments
Post a Comment