LAMATA NILIKUWA CHAWA MBEBA POCHI ZA WASANII NA KUWAPIGIA PASI
Mwongozaji na Mtayarishaji wa Filamu nchini Leah Mwendamseke 'Lamata' amesema kabla ya kuwa mwongoza tamthilia alikuwa anabeba bochi za wasanii location.
Lea amesema kuwa kipindi hicho anabeba pochi lakini alikuwa akiandika stori zake na kuzihifadhi Kuna msanii maarufu alikataa nisimdirect.
"Zamani nilikuwa naandika story hivyo kazi yangu nyingine ilikuwa kubeba pochi za wasanii na kunyoosha nguo zao na mara ya kwanza napewa kazi ya ku-direct movies msanii mkubwa aligoma siwezi kumuongoza kwenye movie sababu nabeba pochi zake"Lamataleah
Kunachakujifunza haijalishi unapitia nini Fanya ili kufikia lengo lako unalotaka dhahabu lazima ipite kwenye moto ili kujulikana kuwa ni dhahabu.


Comments
Post a Comment