BABA LEVO AFUNGUA KAMPENI KIGOMA MJINI

Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Clayton Chipando (Baba Levo) amefungua Kampeni za Ubunge Jimbo la Kigoma mjini na kupokelewa na Maelfu katika viwanja vya Mwanga Community Center ambapo amesindikizwa na msanii ZUCHU, Dvoice na wengine wengi katika ufunguzi wa kampeni hizo…

Comments

Popular posts from this blog

MATAIFA 8 KUIMBA TAMASHA LA PASAKA

PIMEA USIKU WA WANA NDOA ULIVYOFANA MSIFICHANE NA KUWEKEANA VITU

UONGOZI DHAIFU VYATAJWA KUVURUGA TAASISI ZA VIJANA