GWAJIMA MAZINGIRA RAFIKI KWA MABINTI

Waziri wa Maendeleo ya Jamii , Jinsia ,Wanawake na makundi maalumu Dkt Dorothy Gwajima amesema kadri siku zinavyoenda ndivyo ambavyo mazingira yanazidi kuwa rafiki kwa mabinti na wanawake nchini. “Tanzania imepiga hatua kubwa katika uwakilishi wa wanawake, idadi yao bungeni imeongezeka kutoka 8% mwaka 1995 hadi 35% mwaka 2020, Tutaendelea kuimarisha uwakilishi huu” “Tunajenga mazingira yanayowezesha wanawake kustawi kama viongozi, wajasiriamali, na mawakala wa mabadiliko, Uwezeshaji wa kiuchumi ni msingi wa kushiriki kwao katika jamii” “Tutaendelea kuhakikisha wasichana na wanawake wanapata nafasi ya kuongoza na kuandika mwanzo mpya katika historia yetu, Ni wakati wa kuvunja vikwazo na kuleta mabadiliko makubwa”

Comments

Popular posts from this blog

MATAIFA 8 KUIMBA TAMASHA LA PASAKA

PIMEA USIKU WA WANA NDOA ULIVYOFANA MSIFICHANE NA KUWEKEANA VITU

UONGOZI DHAIFU VYATAJWA KUVURUGA TAASISI ZA VIJANA