HER INITIATIVE ILIANZA NA WADADA 3 SASA WAPO 31000

Ikiwa ni muendelezo wa kusherehekea Mwezi wa Wanawake Duniani , Mwenyekiti wa Taasisi ya herinitiative Vanessa Anyoti ameelezea lengo la kuwakutanisha pamoja wanawake wa kada mbalimbali. Amesema kuwa lengo la kuwasherehekea mabinti na wanawake wanaofanya vizuri kwenye nafasi mbalimbali lakini pia ameelezea maendeleo ya Taasisi yao tangu kuanzishwa kwake. “Niko hapa kwa ajili ya kufungua event hii na nina furaha sana kuwakaribisha siku ya leo , Mgeni wetu rasmi , wanufaika wetu na wanafunzi karibuni sana “ “Her initiative ilianza kama movement chuoni na ilikua wasichana watatu waliokua wanaandaa event ili kuwajulisha wenzao kuhusu haki zao na mpaka leo tumefikia zaidi ya wasichana 31,000 na tumedhamiria kuifanya kesho ya mabinti wa Tanzania kuwa bora zaidi”

Comments

Popular posts from this blog

MATAIFA 8 KUIMBA TAMASHA LA PASAKA

PIMEA USIKU WA WANA NDOA ULIVYOFANA MSIFICHANE NA KUWEKEANA VITU

UONGOZI DHAIFU VYATAJWA KUVURUGA TAASISI ZA VIJANA