DERA NI VAZI LA HESHIMA KWA KINA DADA LINAFANYA MWILI KUWA HURU

 


Dera ni vazi la heshima la kina dada linalofanya mwili kuwa huru.

Vazi hili huvaliwa sehemu yoyote humfanya mtu kuheshimika na mwanamke kuonekana mstaarabu.

Zamani tulizoea kuona madera yakivaliwa na wanawake wa Kiislam tu.

Lakini siku hizi mambo yamebadilika na kila mwanamke anavaa na kuonekana kupendeza.

Yapo madera ya aina tofauti tofauti kunayakushonwa kwa kutumia kitambaana yapo yanayotoka nchi za kiarabu n ahata Somalia. 

Pia kuna madera ya kisomali ambayo ununuliwa Mombasa nchini Kenya. Haya yamepewa jina maarufu kama vijora.


Ukienda katika harusi nyingi za kiislamu kijara huwa ndio sare maarufu kwa wadada.

Dera huwa alimkatai mtu lakini pia ni vazi la heshima ambalo mwanaume akikuona mwanamke umevaa anakutafsiri kuwa ni mwenye heshima (hunajiheshima) na kama unafaa kuwa mke bora ndani ya familia.

Vazi hili halimkatai  mtu si mnene mwembamba mtu mweusi mweupe, mrefu na hata mfupi akivaa anapendeza.

Comments

Popular posts from this blog

MATAIFA 8 KUIMBA TAMASHA LA PASAKA

PIMEA USIKU WA WANA NDOA ULIVYOFANA MSIFICHANE NA KUWEKEANA VITU

UONGOZI DHAIFU VYATAJWA KUVURUGA TAASISI ZA VIJANA