GNAKO HANA UTANI KAVUJISHA DUDE LA WEUSI

Gnako hana Utani… hatimaye kaamua kulivujisha Dude la Weusi 

Na hii ni baada ya muda wa zaidi ya mwaka kupita bila kupata wimbo mpya kutoka kundi la weusi na tumekuwa tukiwashuhudia wasanii wa kundi hilo wakitoa kazi za mmoja mmoja kitu kilichopelekea Gnako kudai atavujisha wimbo mpya endapo hawatakua Tayari kutoa… 

Anasema “WEUSI NILIWAAMBIA DUNIA HAINA MUDA NA MIMI SINA MUDA NDO NALIACHIAAAA HIVYOOO

WATAGINI WEUSI WAJE HAPA KINANUKAAA



Comments

Popular posts from this blog

MATAIFA 8 KUIMBA TAMASHA LA PASAKA

PIMEA USIKU WA WANA NDOA ULIVYOFANA MSIFICHANE NA KUWEKEANA VITU

UONGOZI DHAIFU VYATAJWA KUVURUGA TAASISI ZA VIJANA