RAIS DKT SAMIA KUONGOZA MKUTANO WA USALAMA
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza mkutano wa siku mbili wa Baraza la Usalama la Umoja wa Afrika huku Tanzania ikiwa Mwenyekiti wa Baraza hilo kwa mwezi mmoja wote wa May.
Amesema Viongozi mbalimbali wa Nchi za Afrika watahudhulia mkutano huo utakaoanza May 24 na 25 huku Rais wa Gambia, Msumbiji, Uganda na Marais wengine wastaafu wa Afrika wakiongozwa na Dkt. Jakaya Kikwete na Chisano wa Msumbiji wakialikwa katika mkutano huo wa Baraza la Amani la Umoja wa Afrika.


Comments
Post a Comment