DULLA MAKABILA HAKUSHTAKIWA NA MANARA
Aliyejitambulisha kama Mwanasheria wa Dulla Makabila ameweka wazi kuwa Mteja wake hakushtakiwa na Haji Manara bali Polisi kama wengi walivyoripoti mwanzo.
Mbali na hilo ameongeza kuwa pia Dulla Makabilla amehojiwa kuhusu wimbo wake kuhusu kama kamlenga mtu.
Dullah Makabila pia ameulizwa kuhusu kauli ya Marana na kutoa maoni yake.

Comments
Post a Comment