TAIFA STARS YAAHIDIWA BILLION 1.3 KUIFUNGA CONGO
Wachezaji na benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania Taifastars wameahidiwa Dola 500K sawa na TZS bilioni 1.3 endapo itafuzu hatua ya 16 bora ya fainali za michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro amesema ahadi hiyo ya fedha imetolewa ili kuwaongezea hamasa kwa wachezaji.

Comments
Post a Comment