WAKAMATWA WAKISAFIRISHA BANGI

 

Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limefanikiwa kukamata gari ndogo aina ya Noah yenye namba za usajiri T 777 CBC  ikiwa inasafirisha  na magunia Kumi yakiwa na dawa za Kulevya aina ya Bhangi.

Gari hiyo imekamatwa katika eneo la Kijiji cha Chamgata Kata ya Kalemela Wilaya ya Busega mkoani Simiyu.

Dereva wa gari hilo alitelekeza gari hiyo pembezoni mwa barabara ya Mwanza - Musoma na kutokomea kusikojulikana na jitihada za kumtafuta bado zinaendelea.

Comments

Popular posts from this blog

MATAIFA 8 KUIMBA TAMASHA LA PASAKA

PIMEA USIKU WA WANA NDOA ULIVYOFANA MSIFICHANE NA KUWEKEANA VITU

UONGOZI DHAIFU VYATAJWA KUVURUGA TAASISI ZA VIJANA